Sunday, March 26, 2017

CHAMA CHA WATU WENYE UALBINO CHATOA ELIMU MASUALA YA UALBINO KANISA KUU LA KKKT SHINYANGA


Kushoto ni Mkurugenzi wa wanawake,Watoto na Diakonia katika kanisa la KKKT Usharika wa Ebenezer Kanisa Kuu Dayosisi ya Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria,Martha Ernest Ambarang'u akiwatambulisha viongozi kutoka TAS.Wa pili kutoka kushoto ni Afisa Programu kutoka TAS Severin Edward ,akifuatiwa Happiness Ngaweje na afisa mahusiano na habari (TAS)Josephat Torner 
Afisa Mahusiano na habari kutoka chama cha watu wenye ualbino Tanzania (TAS) Josephat Torner akitoa elimu kuhusu masuala ya ualbino katika kanisa la KKKT Usharika wa Ebenezer Kanisa Kuu Dayosisi ya Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria 
Afisa Mahusiano na Habari kutoka TAS,Josephat Torner akizungumza kanisani
Waumini wakimsikiliza Afisa Mahusiano na habari kutoka chama cha watu wenye ualbino Tanzania (TAS) Josephat Torner
Afisa Mahusiano na habari kutoka chama cha watu wenye ualbino Tanzania (TAS) Josephat Torner akiendelea kutoa elimu kuhusu masuala ya ualbino huku akiitaka jamii kutoa ushirikiano wa dhati katika mapambano dhidi ya ukatili kwa watu wenye ualbino 
Afisa Mahusiano na habari kutoka chama cha watu wenye ualbino Tanzania (TAS) Josephat Torner akizungumza kanisani 
Waumini wakipa somo kuhusu masuala ya ualbino 
Mchungaji Jackson Maganga wa kanisa la KKKT Usharika wa Ebenezer Kanisa Kuu Dayosisi ya Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria akieleza namna kanisa hilo linashiriki katika mapambano dhidi ya ukatili kwa watu wenye ualbino 
Mchungaji Jackson Maganga akizungumza kanisani

Waumini wakifuatilia kilichokuwa kinaendelea kanisani 
Mchungaji Goodluck Mosha akizungumza jambo kanisani 
Wachungaji wa kanisa la KKKT Usharika wa Ebenezer Kanisa Kuu Dayosisi ya Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria
Viongozi wa TAS wakiwa kanisani 
Waumini wakifuatilia kilichokuwa kinaendelea kanisani 
Waumini wa kanisa la KKKT Usharika wa Ebenezer Kanisa Kuu Dayosisi ya Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria wakiwa nje ya kanisa baada ya ibada kumalizika 
Viongozi wa TAS wakiondoka katika kanisa la KKKT Usharika wa Ebenezer Kanisa Kuu Dayosisi ya Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria

Kanisa la KKKT Usharika wa Ebenezer Kanisa Kuu Dayosisi ya Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria

No comments: