Thursday, October 20, 2016

MWENYEKITI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC) JAJI MSTAAFU DAMIAN LUBUVA AKUTANA NA KUAFANYA MAZUNGUMZO NA MWENYEKITI WA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA LEO

 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Mstaafu Damian Lubuva (kushoto) akisalimiana na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Bahame Tom Nyanduga (kulia) aliyetembelea Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi leo jijini Dar es salaam. Katikati ni Kamishna wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Asina Omari.
 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Mstaafu Damian Lubuva (kushoto) akizungumza na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Bahame Tom Nyanduga (wa pili kutoka kulia) aliyetembelea Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi leo jijini Dar es salaam. Wengine ni Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Sheria wa NEC, Bw. Emmanuel Kawishe , Kamishna wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi - NEC, Asina Omari (wa pili kutoka kushoto) na Afisa Uchunguzi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bi. Nancy Ngula (wa tatu kutoka kulia).
  Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Mstaafu Damian Lubuva (kushoto) akisisitiza jambo wakati akizungumza na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Bahame Tom Nyanduga (wa pili kutoka kulia) aliyetembelea Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi leo jijini Dar es salaam.
 Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Bahame Tom Nyanduga (katikati) akimweleza jambo jambo Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva (hayupo pichani) mara baada kutembelea Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi leo jijini Dar es salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa NEC Bw. Emmanuel Kawishe na Kushoto Bi. Nancy Ngula, Afisa Uchunguzi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) jaji Mstaafu Damian Lubuva ( kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mhe. Bahame Tom Nyanduga (aliyekaa kulia). Waliosimama mstari wa nyuma ni Kamishna wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC, Asina Omari (kushoto), Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Kisheria wa NEC, Bw. Emmanuel Kawishe na Maafisa kutoka NEC na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora. Picha / Aron Msigwa - NEC.

No comments: