Monday, October 03, 2016

HIVI NDIVYO WATEJA WA BENKI YA CRDB TAWI LA WATER FRONT WALIVYOKULA KEKI PAMOJA NA KUADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA JIJINI DAR LEO


Keki ya Kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa wateja ya benki ya CRDB tawi la Water Front.

Mkurugenzi wa Benki ya CRDB tawi la Water Front, Donath Shirima (Kulia) akizungumza na kuwashukuru wateja wa Benki ya CRDB tawi la Water Front kwa kuwa wateja wao wa kudumu kwa kipindi chote.
Meneja Biashara wa Benki ya CRDB tawi la Water Front jijini Dar es Salaam, Adam Akaro (katikati) akizungumza na wateja pamoja na kuwaribisha katika hafla fupi ya kudhimisha wiki ya Huduma kwa wateja katika tawi lao jijini Dar es Salaam leo.

Meneja wa huduma kwa wateja wa Benki ya CRDB tawi la Water Front, Mary Ngowi akiwakaribisha wateja wa tawi hilo kwaajili ya kukata keki na kula pamoja na wateja wa tai hilo jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi wa Nemarty Limited, Neema Lyimo akikata keki kwa niaba ya wateja wa tawi la Benki ya CRDB tawi la Water Front wakati wa kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja katika tawi la Water Front jijini Dar es Salaam leo.
Meneja wa huduma kwa wateja wa Benki ya CRDB tawi la Water Front, Mary Ngowi akisaidiana na Mkurugenzi wa Nemarty Limited, Neema Lyimo  kukata keki wakati wa kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja jijini Dar es Salaam leo.
.
Mkurugenzi wa Benki ya CRDB tawi la Water Front, Donath Shirima akimlisha keki Mkurugenzi wa Nemarty Limited, Neema Lyimo.
Mkurugenzi wa Nemarty Limited, Neema Lyimo akimlisha  keki Mkurugenzi wa Benki ya CRDB tawi la Water Front, Donath Shirima jijini Dar es Salaam leo.
Meneja wa huduma kwa wateja wa Benki ya CRDB tawi la Water Front, Mary Ngowi akimlisha keki Mkurugenzi wa Nemarty Limited, Neema Lyimo wakati wa kudhimisha wiki ya huduma kwa wateja jijini Dar es Salaam leo.

Mkurugenzi wa Nemarty Limited, Neema Lyimo akiwalisha keki wateja wa benki ya CRDB tawi la Water front jijini Dar es Salaam leo wakatiwa kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja.






Mkurugenzi wa Nemarty Limited, Neema Lyimo akialisha keki wafanyakazi wa benki ya CRDB tawi la Water Front jijini Dar es Salaam leo wakati wa kuadhimishi wiki ya hudma kwa wateja jijini Dar es Salaam leo.
Wafanyakazi wa benki ya CRDB tawi la Water Front wakiwa katika picha ya pamoja jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi wa Nemarty Limited, Neema Lyimo akikabidhiwa zawadi na Mkurugenzi wa Benki ya CRDB tawi la Water Front, Donath Shirima wakati wa kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja jijini Dar es Salaam leo katika benki ya CRDB tawi la Water Front.
Mkurugenzi wa Nemarty Limited, Neema Lyimo katikati akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Benki ya CRDB tawi la Water Front, Donath Shirima(Kulia) wapili kulia ni Meneja wa huduma kwa wateja wa Benki ya CRDB tawi la Water Front, Mary Ngowi na mmoja ya wafanyakazi wa tawi hilo, Batseba Mwakalobo mara baada ya kukabidhiwa zawadi jijini Dar es Salaam leo wataki wa kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja katika tawi la Water Front.


 Baadhi ya zawadi za wateja.
Picha ya Pamoja ya wafanyakazi wa Benki ya CRDB tawi la Water Front jijini Dar es Salaam leo.

No comments: