Monday, August 15, 2016

WASTAAFU WA NHC WAAGWA KATIKA TAFRIJA MCHAPALO ILIYOFANYIKA MAKAO MAKUU YA NHC

Wastaafu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Mama Clara Ngalioma na Mama Habiba Kitalima waliotumikia Shirika la Nyumba kwa uadilifu mkubwa kwa kipindi cha takribani miongo mitatu na kustaafu rasmi Juni na Julai mwaka huu. Hafla fupi ya kuwaaga wastaafu hao ilifanyika Ijumaa jioni Makao Makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa NHC PLACE.

Wastaafu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Mama Clara Ngalioma na Mama Habiba Kitalima waliotumikia Shirika la Nyumba kwa uadilifu mkubwa kwa kipindi cha takribani miongo mitatu na kustaafu rasmi Juni na Julai mwaka huu. Anayeshereheka nao ni Rudya Taraba wa Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa NHC. Hafla fupi ya kuwaaga wastaafu hao ilifanyika Ijumaa jioni Makao Makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa NHC PLACE.
Ofisa Utawala wa NHC, Veronica Mtemi na Rudya Taraba wa Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa NHC wakishereheka pamoja katika hafla ya kuwaaga Wastaafu Mama Clara na Mama Kitalima. Hafla fupi ya kuwaaga wastaafu hao ilifanyika Ijumaa jioni Makao Makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa NHC PLACE.
Mkurugenzi wa Uendelezaji Miliki wa Shirika la Nyumba la Taifa, Haikamen Mlekio akibadilishana mawazo na Mstaafu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Mama Clara Ngalioma.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Jamii cha Shirika la Nyumba la Taifa, Susan Omari  akisalimiana na Mama Habiba Kitalima katika Tafrija Mcapalo iliyofanyika Makao Makuu ya NHC.
 Godlove Godwin na Humprey Tarimo mawazo wakati wa tafrija mchapalo hiyo iliyofanyika Ijumaa Jioni.
 Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa Shirika la Nyumba la Taifa, Pius Tibazarwa akisalimiana na Mama Habiba Kitalima katika Tafrija Mchapalo iliyofanyika Makao Makuu ya NHC.
  Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa Shirika la Nyumba la Taifa, Pius Tibazarwa na Mkurugenzi wa Uendeshaji Mikoa na Utawala wa Shirika la Nyumba la Taifa, Raymond Mdolwa wakibadilishana mawazo katika Tafrija Mchapalo iliyofanyika Makao Makuu ya NHC.
 Mkurugenzi wa Rasilimaliwatu wa Shirika la Nyumba la Taifa, James Rhombo akibadilishana mawazo na wafanyakazi wa NHC katika Tafrija Mchapalo iliyofanyika Makao Makuu ya NHC.
 Katibu wa Chama cha Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa (TAMICO) Iddi Kitete akibadilishana mawazo na wafanyakazi wa NHC katika Tafrija Mchapalo iliyofanyika Makao Makuu ya NHC.


 Wastaafu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Mama Clara Ngalioma na Mama Habiba Kitalima waliotumikia Shirika la Nyumba kwa uadilifu mkubwa kwa kipindi cha takribani miongo mitatu na kustaafu rasmi Juni na Julai mwaka huu. Anayeshereheka nao ni Rudya Taraba wa Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa NHC. Hafla fupi ya kuwaaga wastaafu hao ilifanyika Ijumaa jioni Makao Makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa NHC PLACE.


 Sixtus Killenga na William Bukuru wa NHC wakiendelea kushereheka katika tafrija mchapalo hiyo.
 Wastaafu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Mama Clara Ngalioma na Mama Habiba Kitalima wakiwa katika picha ya pamoja na Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa.
  Wastaafu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Mama Clara Ngalioma na Mama Habiba Kitalima wakiwa katika picha ya pamoja na waliokuwa wafanyakazi wenzao.
Wastaafu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Mama Clara Ngalioma na Mama Habiba Kitalima wakiwa katika picha ya pamoja na waliokuwa wafanyakazi wenzao.

No comments: