Monday, August 29, 2016

NHC YAKABIDHI MABATI 704 YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 15.8 KWAAJILI YA UJENZI WA SHULE ILEMELA

 Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula akipeana mkono na Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa mkoa wa Mwanza, Benedict Kilimba mara baada ya  kukabidhi mabati 704 yenye thamani ya Sh 15.8 milioni kwa Angeline Foundation kwa ajili ya kuezekea madarasa ya shule. Sherehe hii ilifanyika Jumamosi tarehe 27 Agost katika ofisi za Mbunge wa Ilemela.
Waliokuwapo kutoka kushoto ni Dk Leonard Masale Mkuu wa Wilaya ya Ilemela, Dk. Angelina  Mabula (MB) Naibu Waziri wa Ardhi , Nyumba na Maendeleo ya Makazi ; Paul Wanga Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela ; Nelson  Mesha Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ilemela na Madiwani 6 wa Jimbo la Ilemela (hawapo pichani)
Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa mkoa wa Mwanza, Benedict Kilimba akizungumza na wananchi mara baada ya  kukabidhi mabati 704 yenye thamani ya Sh 15.8 milioni kwa Angeline Foundation kwa ajili ya kuezekea madarasa ya shule. Sherehe hii ilifanyika Jumamosi tarehe 27 Agost katika ofisi za Mbunge wa Ilemela ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.
 Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi akishuhudia wakati akikabidhiwa  mabati 704 yenye thamani ya Sh 15.8 milioni kwa Angeline Foundation kwa ajili ya kuezekea madarasa ya shule. Sherehe hii ilifanyika Jumamosi tarehe 27 Agost katika ofisi za Mbunge wa Ilemela.
 Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa mkoa wa Mwanza, Benedict Kilimba na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela, Paul Wanga wakijaribu kunyanyua mojawapo ya mabati mara baada ya  kukabidhi mabati 704 yenye thamani ya Sh 15.8 milioni kwa Angeline Foundation kwa ajili ya kuezekea madarasa ya shule. Sherehe hii ilifanyika Jumamosi tarehe 27 Agost katika ofisi za Mbunge wa Ilemela.
Mkuu wa Wilaya ya Ilemela, Dk Leonard Masale, Naibu Waziri wa Ardhi , Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dk. Angelina  Mabula (MB), Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela Paul Wanga na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ilemela Nelson  Mesha wakijaribu kunyanyua mojawapo ya mabati mara baada ya  kukabidhi mabati 704 yenye thamani ya Sh 15.8 milioni kwa Angeline Foundation kwa ajili ya kuezekea madarasa ya shule. Sherehe hii ilifanyika Jumamosi tarehe 27 Agost katika ofisi za Mbunge wa Ilemela ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.
 Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa mkoa wa Mwanza, Benedict Kilimba akipeana mkono na Mbunge wa Ilemela na Naibu Waziri wa Ardhi mara baada ya  kukabidhi mabati 704 yenye thamani ya Sh 15.8 milioni kwa Angeline Foundation kwa ajili ya kuezekea madarasa ya shule. Sherehe hii ilifanyika Jumamosi tarehe 27 Agost katika ofisi za Mbunge wa Ilemela.
Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa mkoa wa Mwanza, Benedict Kilimba akipeana mkono na  Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ilemela Nelson  Mesha mara baada ya  kukabidhi mabati 704 yenye thamani ya Sh 15.8 milioni kwa Angeline Foundation kwa ajili ya kuezekea madarasa ya shule. Sherehe hii ilifanyika Jumamosi tarehe 27 Agost katika ofisi za Mbunge wa Ilemela.
Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa mkoa wa Mwanza, Benedict Kilimba akipeana mkono na  Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela, Paul Wanga mara baada ya  kukabidhi mabati 704 yenye thamani ya Sh 15.8 milioni kwa Angeline Foundation kwa ajili ya kuezekea madarasa ya shule. Sherehe hii ilifanyika Jumamosi tarehe 27 Agost katika ofisi za Mbunge wa Ilemela.


Seehemu ya mabati hayo 704 yenye thamani ya Sh 15.8 milioni yaliyokabidhiwa kwa Angeline Foundation kwa ajili ya kuezekea madarasa ya shule. Sherehe hii ilifanyika Jumamosi tarehe 27 Agosti katika ofisi za Mbunge wa Ilemela.
 Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi akizungumza mara baada ya kukabidhiwa mabati hayo.

No comments: